Marko 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi siku sita baadaye Yesu akawachukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao. Sura yake ikageuka mbele yao,+ Luka 9:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa kweli, karibu siku nane baada ya maneno hayo, aliambatana na Petro na Yohana na Yakobo wakapanda mlimani ili kusali.+ 2 Petro 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndiyo, maneno hayo tuliyasikia+ yakitoka mbinguni tulipokuwa tungali pamoja naye katika ule mlima mtakatifu.+
2 Basi siku sita baadaye Yesu akawachukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao. Sura yake ikageuka mbele yao,+
28 Kwa kweli, karibu siku nane baada ya maneno hayo, aliambatana na Petro na Yohana na Yakobo wakapanda mlimani ili kusali.+
18 Ndiyo, maneno hayo tuliyasikia+ yakitoka mbinguni tulipokuwa tungali pamoja naye katika ule mlima mtakatifu.+