Wakolosai 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati Kristo, aliye uhai wetu,+ atakapofunuliwa, ndipo ninyi pia mtakapofunuliwa+ pamoja naye katika utukufu.+ 1 Timotheo 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwamba uishike amri katika njia isiyo na doa na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo+ wa Bwana wetu Yesu Kristo.
4 Wakati Kristo, aliye uhai wetu,+ atakapofunuliwa, ndipo ninyi pia mtakapofunuliwa+ pamoja naye katika utukufu.+
14 kwamba uishike amri katika njia isiyo na doa na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo+ wa Bwana wetu Yesu Kristo.