23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+
7 Wapendwa, acheni tuendelee kupendana,+ kwa sababu upendo+ unatoka kwa Mungu, na kila mtu ambaye hupenda amezaliwa kutokana na Mungu+ na hupata kumjua Mungu.+