Mathayo 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’ Yohana 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane kama vile nilivyowapenda ninyi.+ Waroma 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+ 1 Yohana 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hili tumeujua upendo,+ kwa sababu huyo aliitoa nafsi yake kwa ajili yetu;+ na sisi tuko chini ya wajibu kuzitoa nafsi zetu kwa ajili ya ndugu zetu.+
33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’
8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+
16 Kwa hili tumeujua upendo,+ kwa sababu huyo aliitoa nafsi yake kwa ajili yetu;+ na sisi tuko chini ya wajibu kuzitoa nafsi zetu kwa ajili ya ndugu zetu.+