Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’

  • Yohana 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane kama vile nilivyowapenda ninyi.+

  • Waroma 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+

  • 1 Yohana 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hili tumeujua upendo,+ kwa sababu huyo aliitoa nafsi yake kwa ajili yetu;+ na sisi tuko chini ya wajibu kuzitoa nafsi zetu kwa ajili ya ndugu zetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki