Yohana 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+ Waroma 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana wote wanaoongozwa na roho ya Mungu, hao ndio wana wa Mungu.+
12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+