Yohana 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yule aliye na amri zangu na kuzishika, huyo ndiye ambaye hunipenda.+ Naye anayenipenda atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujionyesha wazi kwake.” Yohana 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mkishika amri zangu,+ mtakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba+ na kukaa katika upendo wake.
21 Yule aliye na amri zangu na kuzishika, huyo ndiye ambaye hunipenda.+ Naye anayenipenda atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujionyesha wazi kwake.”
10 Mkishika amri zangu,+ mtakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba+ na kukaa katika upendo wake.