5Kwa hiyo, ninawapa himizo hili wanaume wazee walio kati yenu, kwa kuwa mimi pia ni mwanamume mzee+ pamoja nao na shahidi+ wa mateso ya Kristo, mshiriki hata wa utukufu utakaofunuliwa:+
1 Mwanamume mzee,+ kwa bibi aliyechaguliwa,+ na kwa watoto wake, ambao mimi nawapenda+ kweli, na si mimi peke yangu, bali pia wale wote ambao wameijua kweli,+