1 Wakorintho 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na watunzaji+ elfu kumi katika Kristo, hakika hamna baba wengi;+ kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+ 2 Timotheo 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa Timotheo, mtoto mpendwa:+ Na kuwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.+ Tito 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa Tito, mtoto wangu+ kwelikweli kulingana na imani inayoshirikiwa kwa pamoja: Na kuwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba+ na Kristo Yesu Mwokozi wetu.+ Filemoni 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ninakuhimiza kumhusu mtoto wangu,+ niliyemzaa+ nilipokuwa katika vifungo vyangu vya gereza, Onesimo,+
15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na watunzaji+ elfu kumi katika Kristo, hakika hamna baba wengi;+ kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+
2 kwa Timotheo, mtoto mpendwa:+ Na kuwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.+
4 kwa Tito, mtoto wangu+ kwelikweli kulingana na imani inayoshirikiwa kwa pamoja: Na kuwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba+ na Kristo Yesu Mwokozi wetu.+
10 ninakuhimiza kumhusu mtoto wangu,+ niliyemzaa+ nilipokuwa katika vifungo vyangu vya gereza, Onesimo,+