12 Kwa sababu hii ninavumilia+ pia mambo haya, lakini sioni aibu.+ Kwa maana namjua yule ambaye nimemwamini, nami nina hakika anaweza kukilinda+ kile ambacho nimeweka amana kwake mpaka siku ile.+
18 Bwana atanikomboa kutoka katika kila tendo la uovu+ naye ataniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni.+ Utukufu na uwe kwake milele na milele. Amina.