2 Katika maono ya Mungu alinileta katika nchi ya Israeli na hatua kwa hatua akaniweka juu ya mlima mrefu sana,+ ambao juu yake palikuwa na kitu kama muundo wa jiji kuelekea kusini.+
2 Namjua mtu mmoja katika muungano na Kristo ambaye, miaka kumi na minne iliyopita—kama ni katika mwili sijui, au ni nje ya mwili sijui; Mungu anajua—alinyakuliwa+ akiwa hivyo mpaka kwenye mbingu ya tatu.