1 Wakorintho 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye pia atawafanya ninyi imara+ mpaka mwisho, ili msiwe na shtaka+ lolote katika siku+ ya Bwana wetu Yesu Kristo.+ 1 Wakorintho 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mkamkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho+ iokolewe katika siku ya Bwana.+
8 Yeye pia atawafanya ninyi imara+ mpaka mwisho, ili msiwe na shtaka+ lolote katika siku+ ya Bwana wetu Yesu Kristo.+
5 mkamkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho+ iokolewe katika siku ya Bwana.+