Isaya 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Lo! Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,+ ewe mwenye kung’aa, mwana wa mapambazuko! Jinsi ulivyokatwa ukaangushwa kwenye dunia,+ wewe uliyekuwa ukiyaondolea mataifa uwezo!+ Luka 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akawaambia: “Nilianza kumwona Shetani akiwa tayari ameanguka+ kama umeme kutoka mbinguni. 2 Wakorintho 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na si ajabu, kwa maana Shetani mwenyewe huendelea kujigeuza mwenyewe kuwa malaika wa nuru.+
12 “Lo! Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,+ ewe mwenye kung’aa, mwana wa mapambazuko! Jinsi ulivyokatwa ukaangushwa kwenye dunia,+ wewe uliyekuwa ukiyaondolea mataifa uwezo!+