Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita. Ufunuo 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “ ‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi juu ya mambo haya kwa ajili ya yale makutaniko. Mimi ndiye mzizi+ na uzao+ wa Daudi, na nyota nyangavu ya asubuhi.’ ”+
17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita.
16 “ ‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi juu ya mambo haya kwa ajili ya yale makutaniko. Mimi ndiye mzizi+ na uzao+ wa Daudi, na nyota nyangavu ya asubuhi.’ ”+