9 Na wale wanadamu wakaunguzwa kwa joto kubwa, lakini wakalikufuru jina+ la Mungu, aliye na mamlaka+ juu ya mapigo haya, nao hawakutubu ili wampe utukufu.+
7 Kwa kadiri alivyojitukuza mwenyewe na kuishi katika anasa isiyo na aibu, kwa kadiri hiyo mpeni mateso na maombolezo.+ Kwa maana moyoni mwake anaendelea kusema, ‘Ninaketi nikiwa malkia,+ nami si mjane,+ nami sitaona maombolezo kamwe.’+