Ufunuo 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake.+ Nami nikaona nyota+ iliyokuwa imeanguka kutoka mbinguni mpaka duniani, naye akapewa ufunguo+ wa shimo la abiso.+ Ufunuo 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nami nikamwona malaika akishuka kutoka mbinguni mwenye ufunguo wa abiso+ na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
9 Na malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake.+ Nami nikaona nyota+ iliyokuwa imeanguka kutoka mbinguni mpaka duniani, naye akapewa ufunguo+ wa shimo la abiso.+
20 Nami nikamwona malaika akishuka kutoka mbinguni mwenye ufunguo wa abiso+ na mnyororo mkubwa mkononi mwake.