15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
12Na ishara+ kubwa ilionekana mbinguni, mwanamke+ aliyepambwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake, na juu ya kichwa chake palikuwa na taji la nyota kumi na mbili,