Mathayo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika. Ufunuo 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wana mfalme juu yao, yule malaika wa abiso.+ Katika Kiebrania jina lake ni Abadoni, lakini katika Kigiriki ana jina Apolioni.+
39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika.
11 Wana mfalme juu yao, yule malaika wa abiso.+ Katika Kiebrania jina lake ni Abadoni, lakini katika Kigiriki ana jina Apolioni.+