Luka 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Ah! Tuna nini nawe,+ Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu wa Mungu.”+ Ufunuo 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na upanga mrefu mkali unachomoza kutoka kinywani mwake,+ ili ayapige mataifa nao, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Yeye anakanyaga pia shinikizo la divai+ ya hasira ya ghadhabu ya Mungu+ Mweza-Yote.
34 “Ah! Tuna nini nawe,+ Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu wa Mungu.”+
15 Na upanga mrefu mkali unachomoza kutoka kinywani mwake,+ ili ayapige mataifa nao, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Yeye anakanyaga pia shinikizo la divai+ ya hasira ya ghadhabu ya Mungu+ Mweza-Yote.