10 Basi wakachukua masizi ya tanuru na kusimama mbele ya Farao, naye Musa akayarusha kuelekea mbinguni, nayo yakawa majipu yenye malengelenge,+ yanayopasuka juu ya mwanadamu na mnyama.
35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako.+