Ufunuo 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa inayowaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni,+ nayo ikaanguka juu ya sehemu ya tatu ya mito na juu ya chemchemi za maji.+
10 Na malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa inayowaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni,+ nayo ikaanguka juu ya sehemu ya tatu ya mito na juu ya chemchemi za maji.+