Kutoka 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe mkono wako kuelekea mbinguni,+ ili giza lipate kutokea juu ya nchi ya Misri nalo giza liweze kuguswa.” Isaya 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye ataiangalia dunia, na, lo! taabu na giza,+ weusi, nyakati ngumu na weusi bila mwangaza.+ Waefeso 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 huku wakiwa katika giza kiakili,+ na kutenganishwa mbali+ na uzima ambao ni wa Mungu, kwa sababu ya kule kutojua+ ambako kumo ndani yao, kwa sababu ya ugumu+ wa mioyo yao.
21 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe mkono wako kuelekea mbinguni,+ ili giza lipate kutokea juu ya nchi ya Misri nalo giza liweze kuguswa.”
18 huku wakiwa katika giza kiakili,+ na kutenganishwa mbali+ na uzima ambao ni wa Mungu, kwa sababu ya kule kutojua+ ambako kumo ndani yao, kwa sababu ya ugumu+ wa mioyo yao.