Luka 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nanyi kwa kuvumilia mtajipatia nafsi zenu.+ Waebrania 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo, basi, kwa sababu tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi+ linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito+ na dhambi ambayo hututatanisha kwa urahisi,+ na acheni tukimbie kwa uvumilivu+ shindano la mbio+ lililowekwa mbele yetu,+
12 Kwa hiyo, basi, kwa sababu tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi+ linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito+ na dhambi ambayo hututatanisha kwa urahisi,+ na acheni tukimbie kwa uvumilivu+ shindano la mbio+ lililowekwa mbele yetu,+