Danieli 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+ Luka 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Lakini mtu+ fulani alikuwa tajiri, naye alikuwa akijipamba kwa mavazi ya zambarau na kitani, akijifurahisha siku baada ya siku kwa fahari.+
29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+
19 “Lakini mtu+ fulani alikuwa tajiri, naye alikuwa akijipamba kwa mavazi ya zambarau na kitani, akijifurahisha siku baada ya siku kwa fahari.+