24 Hata hivyo, miezi mitatu hivi baadaye Yuda akaambiwa: “Tamari binti-mkwe wako amefanya ukahaba,+ na tazama ana mimba+ pia kutokana na ukahaba wake.” Ndipo Yuda akasema: “Mtoeni nje ateketezwe.”+
8 Hiyo ndiyo sababu katika siku moja mapigo+ yake yatakuja, kifo na kuomboleza na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+