Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, miezi mitatu hivi baadaye Yuda akaambiwa: “Tamari binti-mkwe wako amefanya ukahaba,+ na tazama ana mimba+ pia kutokana na ukahaba wake.” Ndipo Yuda akasema: “Mtoeni nje ateketezwe.”+

  • Mambo ya Walawi 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Sasa ikiwa binti ya kuhani atajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamtia unajisi baba yake. Binti huyo atateketezwa katika moto.+

  • Ufunuo 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hiyo ndiyo sababu katika siku moja mapigo+ yake yatakuja, kifo na kuomboleza na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki