Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende zetu shambani.” Basi walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+

  • Mathayo 23:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ili damu yote ya waadilifu iliyomwagwa duniani ije juu yenu, kuanzia damu ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua kati ya patakatifu na madhabahu.+

  • Waebrania 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa imani, Abeli alimtolea Mungu dhabihu ya thamani kubwa zaidi kuliko ile ya Kaini,+ na kupitia imani hiyo alitolewa ushahidi kwamba alikuwa mwadilifu, kwa kuwa Mungu alikubali* zawadi zake,+ na ingawa alikufa, bado anazungumza+ kupitia imani yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki