Hesabu 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 wote wenye umri wa miaka 30+ hadi 50+ walio katika kikundi kilichogawiwa kutumikia katika hema la mkutano.+ 2 Samweli 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipowekwa kuwa mfalme, naye alitawala kwa miaka 40.+ Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli,
3 wote wenye umri wa miaka 30+ hadi 50+ walio katika kikundi kilichogawiwa kutumikia katika hema la mkutano.+
23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli,