Mwanzo 37:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha akawaambia: “Msimwage damu.+ Mtupeni ndani ya shimo hili la maji lililo nyikani, lakini msimdhuru.”*+ Rubeni alikusudia kumwokoa kutoka mikononi mwao ili amrudishe kwa baba yake. Mwanzo 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wana wa Rubeni walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+
22 Kisha akawaambia: “Msimwage damu.+ Mtupeni ndani ya shimo hili la maji lililo nyikani, lakini msimdhuru.”*+ Rubeni alikusudia kumwokoa kutoka mikononi mwao ili amrudishe kwa baba yake.