Yohana 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Isitoshe, hakuna mtu aliyepanda kwenda mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ yaani, Mwana wa binadamu. Waebrania 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa imani, Enoko+ alihamishwa ili asione kifo, naye hakupatikana popote kwa sababu Mungu alikuwa amemhamisha;+ kwa maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ametolewa ushahidi kwamba amempendeza Mungu vema.
13 Isitoshe, hakuna mtu aliyepanda kwenda mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ yaani, Mwana wa binadamu.
5 Kwa imani, Enoko+ alihamishwa ili asione kifo, naye hakupatikana popote kwa sababu Mungu alikuwa amemhamisha;+ kwa maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ametolewa ushahidi kwamba amempendeza Mungu vema.