Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yakobo alikuwa amempenda Raheli, kwa hiyo akasema: “Niko tayari kukutumikia kwa miaka saba ili nimpate Raheli binti yako mdogo.”+

  • Mwanzo 30:22-24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mwishowe Mungu akamkumbuka Raheli, na Mungu akamsikia na kumjibu kwa kumwezesha kupata mimba.*+ 23 Akapata mimba na kuzaa mwana. Akasema: “Mungu ameiondoa aibu yangu!”+ 24 Basi akampa mwana huyo jina Yosefu,*+ akisema: “Yehova ananiongezea mwana mwingine.”

  • Mwanzo 35:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Uhai wake ulipokuwa ukitoka (kwa kuwa alikuwa akifa), akamwita mwana huyo Ben-oni,* lakini baba yake akamwita Benjamini.*+ 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+

  • Mwanzo 46:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wana wa Raheli, mke wa Yakobo, walikuwa Yosefu+ na Benjamini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki