7 Nilipokuwa nikitoka Padani, Raheli alikufa+ kando yangu katika nchi ya Kanaani, na bado tulikuwa na safari ndefu kabla ya kufika Efrathi.+ Kwa hiyo nikamzika huko nikiwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.”+
6 ‘Na wewe, ewe Bethlehemu ya nchi ya Yuda, wewe si mji mdogo zaidi miongoni mwa magavana wa Yuda, kwa maana kutoka kwako atakuja kiongozi, atakayewachunga watu wangu Israeli.’”+