Mwanzo 46:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wana wa Benjamini+ walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera,+ Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu,+ na Ardi.+ Mwanzo 49:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Benjamini+ ataendelea kurarua kama mbwamwitu.+ Asubuhi atakula mawindo, na jioni atagawanya nyara.”+ Kumbukumbu la Torati 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Alisema hivi kumhusu Benjamini:+ “Mwache mpendwa wa Yehova akae kwa usalama kando yake;Akimkinga siku nzima,Atakaa katikati ya mabega yake.”
21 Wana wa Benjamini+ walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera,+ Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu,+ na Ardi.+
27 “Benjamini+ ataendelea kurarua kama mbwamwitu.+ Asubuhi atakula mawindo, na jioni atagawanya nyara.”+
12 Alisema hivi kumhusu Benjamini:+ “Mwache mpendwa wa Yehova akae kwa usalama kando yake;Akimkinga siku nzima,Atakaa katikati ya mabega yake.”