Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 46:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Farao akiwaita na kuwauliza, ‘Mnafanya kazi gani?’ 34 Mnapaswa kumwambia, ‘Sisi watumishi wako tumekuwa wafugaji tangu tulipokuwa vijana mpaka sasa, sisi pamoja na mababu zetu,’+ ili mwishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu Wamisri wanamchukia kila mtu anayefuga kondoo.”+

  • Mwanzo 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Basi Yosefu akaenda na kumwambia Farao:+ “Baba yangu na ndugu zangu wamekuja kutoka katika nchi ya Kanaani wakiwa na kondoo wao na ng’ombe wao na mali zao zote, wako katika nchi ya Gosheni.”+

  • Kutoka 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Siku hiyo, hakika nitaitenga nchi ya Gosheni, wanakoishi watu wangu. Hakuna nzi yeyote atakayepatikana huko,+ na kwa jambo hilo utajua kwamba mimi, Yehova, niko humu nchini.+

  • Kutoka 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ila tu mvua hiyo ya mawe haikunyesha katika nchi ya Gosheni, ambako Waisraeli waliishi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki