Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akaanza kusikia harufu ya kupendeza.* Kwa hiyo Yehova akasema moyoni mwake: “Sitailaani ardhi+ tena kwa sababu ya mwanadamu, kwa maana mwelekeo wa moyo wa mwanadamu ni mbaya tangu wakati wa ujana;+ nami sitamwangamiza tena kamwe kila kiumbe aliye hai kama nilivyofanya.+

  • Yeremia 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Moyo ni wenye hila* kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.*+

      Ni nani anayeweza kuujua?

  • Mathayo 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa mfano, moyoni hutoka mawazo mabaya,+ mauaji, uzinzi, uasherati,* wizi, ushahidi wa uwongo, na makufuru.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki