Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo Yehova akasema: “Nitawafagilia mbali kutoka duniani wanadamu ambao nimewaumba, wanadamu pamoja na wanyama wa kufugwa, wanyama wanaotambaa, na viumbe wanaoruka angani, kwa sababu ninaghairi kwamba niliwaumba.”

  • Mwanzo 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Nami kwa upande wangu, nitaleta gharika ya maji+ duniani ili kuangamiza viumbe wote wenye pumzi ya uhai* walio chini ya mbingu. Kila kitu kilicho duniani kitaangamia.+

  • Mwanzo 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naam, ninafanya agano langu pamoja nanyi: Viumbe wote* hawataangamizwa tena kamwe kwa maji ya gharika, na gharika haitaiharibu+ dunia tena kamwe.”

  • Isaya 54:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 “Jambo hili kwangu ni kama siku za Noa.+

      Kama nilivyoapa kwamba maji ya Noa hayataifunika tena dunia,+

      Ndivyo ninavyoapa kwamba sitawaka hasira tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki