Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa hiyo Lea akapata mimba na kuzaa mwana, akampa jina Rubeni,*+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ameyaona mateso yangu,+ kwa maana sasa mume wangu ataanza kunipenda.”

  • Kutoka 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hawa ndio viongozi wa nyumba ya baba zao: Wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+ Hizo ndizo koo za Rubeni.

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hawa ndio wana wa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Israeli. Yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa sababu alikichafua* kitanda cha baba yake,+ haki yake ya mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu+ mwana wa Israeli, kwa hiyo hakuandikishwa katika orodha ya ukoo kwamba ana haki ya mzaliwa wa kwanza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki