-
Mwanzo 29:33, 34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
33 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza, kwa maana sikupendwa, kwa hiyo amenipa huyu pia.” Basi akampa jina Simeoni.*+ 34 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, kisha akasema: “Mara hii mume wangu ataungana nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo mwana huyo akapewa jina Lawi.*+
-