Mwanzo 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hata hivyo, siku ya tatu, walipokuwa bado wana maumivu, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda ghafla katika jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+ Mwanzo 49:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Simeoni na Lawi ni ndugu.+ Silaha za ukatili ndizo silaha zao za kuchinjia.+ Kutoka 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi,+ kulingana na koo zao: Gershoni, Kohathi, na Merari.+ Lawi aliishi miaka 137. Hesabu 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Tazama! Mimi nawachukua Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli badala ya wazaliwa wote wa kwanza* wa Waisraeli;+ Walawi watakuwa wangu. 1 Mambo ya Nyakati 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni, Kohathi,+ na Merari.+
25 Hata hivyo, siku ya tatu, walipokuwa bado wana maumivu, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda ghafla katika jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+
16 Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi,+ kulingana na koo zao: Gershoni, Kohathi, na Merari.+ Lawi aliishi miaka 137.
12 “Tazama! Mimi nawachukua Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli badala ya wazaliwa wote wa kwanza* wa Waisraeli;+ Walawi watakuwa wangu.