Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hata hivyo, siku ya tatu, walipokuwa bado wana maumivu, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda ghafla katika jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+

  • Mwanzo 49:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Simeoni na Lawi ni ndugu.+ Silaha za ukatili ndizo silaha zao za kuchinjia.+

  • Kutoka 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi,+ kulingana na koo zao: Gershoni, Kohathi, na Merari.+ Lawi aliishi miaka 137.

  • Hesabu 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Tazama! Mimi nawachukua Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli badala ya wazaliwa wote wa kwanza* wa Waisraeli;+ Walawi watakuwa wangu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni, Kohathi,+ na Merari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki