Mwanzo 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, akasema: “Wakati huu nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akampa jina Yuda.*+ Kisha akaacha kuzaa. Kumbukumbu la Torati 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akamtangazia Yuda baraka hii:+ “Ee Yehova, isikie sauti ya Yuda,+Nawe umrudishe kwa watu wake. Mikono yake imetetea* kilicho chake,Nawe umsaidie dhidi ya maadui wake.”+
35 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, akasema: “Wakati huu nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akampa jina Yuda.*+ Kisha akaacha kuzaa.
7 Naye akamtangazia Yuda baraka hii:+ “Ee Yehova, isikie sauti ya Yuda,+Nawe umrudishe kwa watu wake. Mikono yake imetetea* kilicho chake,Nawe umsaidie dhidi ya maadui wake.”+