Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni.

  • Mwanzo 37:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo Yuda akawaambia ndugu zake: “Tutapata faida gani tukimuua ndugu yetu na kufunika damu yake?+

  • Mwanzo 44:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa Yuda akamkaribia na kumwambia: “Nakusihi, bwana wangu, tafadhali niruhusu mimi mtumwa wako nikwambie neno moja bwana wangu, wala usinikasirikie mimi mtumwa wako, kwa maana wewe ni kama Farao.+

  • Mwanzo 49:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Nawe Yuda,+ ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa shingoni mwa maadui wako.+ Wana wa baba yako watainama chini mbele yako.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela. Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu.+ Lakini Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, hakumpendeza Yehova, kwa hiyo Akamuua.+

  • Ufunuo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki