8 Kisha Yuda akamsihi Israeli baba yake: “Niruhusu niende na mvulana huyu,+ acha twende zetu ili tuishi tusije tukafa+—wewe na sisi na watoto wetu.+ 9 Nitakuwa dhamana kwa ajili ya ulinzi wake.+ Nitawajibika kwako. Nisipomrudisha na kukukabidhi, nitakuwa nimekutendea dhambi ya kudumu.