Mwanzo 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo Yuda akawaambia ndugu zake: “Tutapata faida gani tukimuua ndugu yetu na kufunika damu yake?+ Mwanzo 42:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini Yakobo akasema: “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa, naye amebaki peke yake.+ Akipatwa na madhara na kufia njiani, basi kwa hakika mtazishusha mvi zangu Kaburini*+ kwa huzuni.”+
26 Ndipo Yuda akawaambia ndugu zake: “Tutapata faida gani tukimuua ndugu yetu na kufunika damu yake?+
38 Lakini Yakobo akasema: “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa, naye amebaki peke yake.+ Akipatwa na madhara na kufia njiani, basi kwa hakika mtazishusha mvi zangu Kaburini*+ kwa huzuni.”+