-
Mwanzo 20:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Na isitoshe, kwa kweli huyu ni dada yangu, binti ya baba yangu lakini si binti ya mama yangu, naye akawa mke wangu.+ 13 Kwa hiyo Mungu aliponifanya nitangetange kutoka katika nyumba ya baba yangu,+ nilimwambia mke wangu: ‘Hivi ndivyo utakavyonionyesha upendo mshikamanifu: Kila mahali tutakapokwenda, sema hivi kunihusu, “Huyu ni ndugu yangu.”’”+
-