Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Alipokaribia kuingia Misri, akamwambia Sarai mke wake: “Tafadhali sikiliza! Ninajua kwamba wewe ni mwanamke mrembo sana.+

  • Mwanzo 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Kuhusu mke wako Sarai,*+ usimwite tena Sarai, kwa sababu jina lake litakuwa Sara.*

  • Mwanzo 20:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na isitoshe, kwa kweli huyu ni dada yangu, binti ya baba yangu lakini si binti ya mama yangu, naye akawa mke wangu.+ 13 Kwa hiyo Mungu aliponifanya nitangetange kutoka katika nyumba ya baba yangu,+ nilimwambia mke wangu: ‘Hivi ndivyo utakavyonionyesha upendo mshikamanifu: Kila mahali tutakapokwenda, sema hivi kunihusu, “Huyu ni ndugu yangu.”’”+

  • 1 Petro 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kama Sara alivyomtii Abrahamu, akimwita bwana.+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema, bila kuogopa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki