-
2 Petro 2:7-9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Naye alimwokoa Loti mwadilifu,+ aliyetaabishwa sana na mwenendo mpotovu* wa waasi sheria— 8 kwa maana siku baada ya siku mtu huyo mwadilifu alikuwa akiitesa nafsi* yake yenye uadilifu kwa sababu ya matendo ya kuasi sheria aliyoona na kusikia alipokuwa akiishi miongoni mwao. 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+
-