Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Farao akamwita Abramu na kumuuliza: “Kwa nini umenitendea hivi? Kwa nini hukuniambia kwamba yeye ni mke wako? 19 Kwa nini ulisema, ‘Huyu ni dada yangu,’+ hivi kwamba nilikuwa karibu kumchukua awe mke wangu? Mke wako ndiye huyu. Mchukue uende zako!”

  • Mwanzo 26:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mara moja Abimeleki akamwita Isaka na kumwambia: “Kumbe ni mke wako! Mbona ulisema, ‘Huyu ni dada yangu’?” Isaka akamwambia: “Nilisema hivyo kwa sababu niliogopa nitauawa kwa sababu yake.”+ 10 Lakini Abimeleki akamuuliza: “Ni jambo gani hili ulilotutendea?+ Ingekuwa rahisi kwa yeyote kulala na mke wako, nawe ungetuletea hatia!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki