Mwanzo 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hata hivyo, nitaimarisha agano langu pamoja na Isaka,+ ambaye Sara atakuzalia wakati huuhuu mwaka ujao.”+ Mwanzo 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo mmoja wao akasema: “Kwa hakika nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na tazama! mke wako Sara atakuwa na mwana.”+ Sasa Sara alikuwa akisikiliza kwenye mlango wa hema uliokuwa nyuma ya mtu huyo. Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.” Waroma 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana neno la ahadi lilisema hivi: “Nitakuja wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.”+
21 Hata hivyo, nitaimarisha agano langu pamoja na Isaka,+ ambaye Sara atakuzalia wakati huuhuu mwaka ujao.”+
10 Kwa hiyo mmoja wao akasema: “Kwa hakika nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na tazama! mke wako Sara atakuwa na mwana.”+ Sasa Sara alikuwa akisikiliza kwenye mlango wa hema uliokuwa nyuma ya mtu huyo.
14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.”