Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi malaika wa Yehova akamwambia: “Rudi kwa bimkubwa wako na ujinyenyekeze chini ya mkono wake.” 10 Kisha malaika wa Yehova akasema: “Nitawazidisha sana wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi sana wasiweze kuhesabiwa.”+

  • Mwanzo 17:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini kuhusu Ishmaeli, nimesikia ombi lako. Tazama! Nitambariki, nami nitamfanya awe na wazao wengi, nao wataongezeka na kuwa wengi, wengi sana. Atazaa wakuu 12, nami nitamfanya awe taifa kubwa.+

  • Mwanzo 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hii ndiyo historia ya Ishmaeli+ mwana wa Abrahamu ambaye Hagari+ Mmisri, kijakazi wa Sara, alimzalia Abrahamu.

  • Mwanzo 25:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ndiyo majina yao kulingana na makao yao na kulingana na kambi zao,* wakuu 12 kulingana na koo zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki