Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha malaika wa Yehova akasema: “Nitawazidisha sana wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi sana wasiweze kuhesabiwa.”+

  • Mwanzo 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na kuhusu mwana wa kijakazi wako,+ nitatokeza pia taifa kutoka kwake,+ kwa sababu yeye ni uzao wako.”*

  • Mwanzo 21:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Simama, mwinue mwanao na umshike kwa mkono wako, kwa maana nitamfanya kuwa taifa kubwa.”+

  • Mwanzo 25:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kulingana na asili za koo zao: Nebayothi+ mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 14 Mishma, Duma, Masa, 15 Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi, na Kedema. 16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ndiyo majina yao kulingana na makao yao na kulingana na kambi zao,* wakuu 12 kulingana na koo zao.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 1:29-31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hizi ndizo asili za koo zao: mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi,+ kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31 Yeturi, Nafishi, na Kedema. Hao ndio waliokuwa wana wa Ishmaeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki