21Yehova akamkumbuka Sara kama alivyokuwa amesema, na Yehova akamtendea Sara jambo alilokuwa amemwahidi.+2 Basi Sara akapata mimba+ Abrahamu akiwa mzee, akamzalia mwana wakati uleule ambao Mungu alikuwa amemwahidi Abrahamu.+
19 Na ingawa imani yake haikudhoofika, alifikiria mwili wake mwenyewe, sasa ukiwa kama tayari umekufa (kwa kuwa alikuwa na umri wa karibu miaka 100),+ na pia hali ya kufa* ya tumbo la uzazi la Sara.+