20Sasa Abrahamu akaihamisha kambi yake kutoka huko+ na kwenda katika nchi ya Negebu, akaanza kuishi kati ya Kadeshi+ na Shuri.+ Alipokuwa akiishi* Gerari,+
22 Walipopanda na kuingia Negebu, walifika Hebroni,+ ambako Ahimani, Sheshai, na Talmai,+ wazao wa Anaki+ waliishi. Sasa, Jiji la Hebroni lilijengwa miaka saba kabla ya jiji la Soani lililoko Misri.