6 Basi Rebeka akamwambia Yakobo mwanawe:+ “Nimetoka kumsikia baba yako akizungumza na ndugu yako Esau na kumwambia, 7 ‘Niletee nyama ya porini, unipikie chakula kitamu. Kisha unipe nile ili nikubariki mbele za Yehova kabla sijafa.’+
46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Ninachukia maisha yangu kwa sababu ya mabinti wa Hethi.+ Yakobo akioa mke kutoka kwa mabinti wa Hethi, kama mabinti hawa wa nchi hii, maisha yangu yana faida gani?”+